Beki wa Liverpool, Mholanzi Virgil van Dijk akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake hiyo mpya bao la ushindi dakika ya 84 wakiichapa 2-1 Everton Uwanja wa Anfield na kutinga Raundi ya Nne ya Kombe la FA. Liverpool walitangulia kwa bao la James Milner kwa penalti dakika ya 35, kabla ya Gylfi Sigurosson kusawazisha dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment