Beki wa Liverpool, Mholanzi Virgil van Dijk akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake hiyo mpya bao la ushindi dakika ya 84 wakiichapa 2-1 Everton Uwanja wa Anfield na kutinga Raundi ya Nne ya Kombe la FA. Liverpool walitangulia kwa bao la James Milner kwa penalti dakika ya 35, kabla ya Gylfi Sigurosson kusawazisha dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' LeBron James on Game 4 Win vs. Nuggets: 'We've Given Ourselves
Another Life'
-
LeBron James says the Los Angeles Lakers were granted "another life" by
winning Game 4 against the Denver Nuggets Saturday night. James scored 30
points to…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment