Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 90 ikiichapa 2-0 Derby Count katika mchezo wa Kombe la FA England usiku wa Ijumaa Uwanja wa Old Trafford na kutinga Raundi ya Nne. Bao la kwanza la United limefungwa na Jesse Lingard (kulia) dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in for teenage Sydney soccer player who died suddenly after
collapsing during match
-
The family of Sydney teenager Enzo Santiago Alves is in mourning this week
after the young athlete died suddenly following a health event during a
soccer m...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment