Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 90 ikiichapa 2-0 Derby Count katika mchezo wa Kombe la FA England usiku wa Ijumaa Uwanja wa Old Trafford na kutinga Raundi ya Nne. Bao la kwanza la United limefungwa na Jesse Lingard (kulia) dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump's former lawyer Joe Tacopina is 'leading bid to buy English
soccer club'
-
Donald Trump attorney Joe Tacopina has his eyes set on a historic English
club that dates back to 1884. And according to one report, Tacopina almost
has ap...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment