Mshambuliaji wa Real Madrid, Lucas Vazquez (kushoto) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia timu ya kocha Zinedine Zidane mabao mawili dakika za 10 na 59 katika sare ya 2-2 na Numancia usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey. Mabao ya Numancia yalifungwa na Guillermo Fernandez dakika ya 45 na 82 na Real Madrid inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment