Nyota Mbrazil, Neymar Junior akiweka kiatu chake kichwani kushangilia bao la kwanza aliloifungia Paris Saint-Germain dakika ya 53 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Amiens SC kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Licorne, Amiens. Bao la pili la PSG lilifungwa na Adrien Rabiot dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Yankees' Aaron Judge Talks 1st Career Ejection After Arguing 3rd
Strike Call
-
New York Yankees star Aaron Judge says he was "very surprised" to receive
the first ejection of his MLB career after arguing over a third strike call
during…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment