Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa jukwaani Uwanja wa Uhuru leo wakati timu yake ikimenyana na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kutoka sare ya 0-0. Inadaiwa Lwandamina kibali chake cha kufanya kazi nchini kimemaliza muda wake
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akishuhudia mchezo huo leo. Kushoto ni Samuel Lukumay Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga
Football fans could face £1,000 fine and banning order as part of new
police crackdown following chaotic scenes at Wembley Euros final
-
The practice, which has been commonplace for years and which came to light
amid chaotic scenes at England's European Championship Final with Italy,
will no...
2 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment