• HABARI MPYA

    Wednesday, January 17, 2018

    LWANDAMINA ALIVYOISHUHUDIA YANGA JUKWAANI IKIAMBULIA SARE LEO

    Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa jukwaani Uwanja wa Uhuru leo wakati timu yake ikimenyana na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kutoka sare ya 0-0. Inadaiwa Lwandamina kibali chake cha kufanya kazi nchini kimemaliza muda wake
    Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akishuhudia mchezo huo leo. Kushoto ni Samuel Lukumay Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LWANDAMINA ALIVYOISHUHUDIA YANGA JUKWAANI IKIAMBULIA SARE LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top