Kocha wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (wa tatu kutoka kulia) akifuatilia kwa makini mchezo wa timu yake dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga ilishinda 1-0 na leo kwa mara ya tatu Lwandamina hakuwa benchi kwa sababu ya kibali cha kufanyia kazi nchini.
NFL Rumors: Jaycee Horn's $12.5M Panthers Contract Option Picked Up for
2025 Season
-
A busy weekend for the Carolina Panthers continued with cornerback Jaycee
Horn set to have his fifth-year option picked up. Per NFL Network's Ian
Rapoport,…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment