Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 56 na 58 katika ushindi wa 4-1 wa Manchester City dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City inayoingia Raundi ya Nne ya michuano hiyo kwa ushindi huo yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 71 na Bernardo Silva dakika ya 82, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment