Mshambuliaji Diego Costa akiruka uzio kwenda kushangilia na mashabiki baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 68 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Costa alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kwenda kushangilia na mashabiki katika mechi hiyo ya kwanza tangu arejee Atletico kutoka Chelsea. Bao la kwanza la Atletico Madrid lilifungwa na Angel Correa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Plateau, Benue crisis: Tinubu committed to inclusive governance – Presidency
-
Charismatic Bishops demand swift action on Benue, Plateau security crisis
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The Presidency has reaffirmed
President ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment