Mshambuliaji Diego Costa akiruka uzio kwenda kushangilia na mashabiki baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 68 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Costa alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kwenda kushangilia na mashabiki katika mechi hiyo ya kwanza tangu arejee Atletico kutoka Chelsea. Bao la kwanza la Atletico Madrid lilifungwa na Angel Correa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal of years gone by would have cracked, but Mikel Arteta's side served
notice to Man City that they will fight them all the way and won't lose
their nerve after 3-2 Spurs win, writes OLIVER HOLT
-
OLIVER HOLT AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Arsenal fans turned and
taunted their Spurs counterparts in the section beside them. Their joy was
unconfined.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment