Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 56 na 58 katika ushindi wa 4-1 wa Manchester City dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City inayoingia Raundi ya Nne ya michuano hiyo kwa ushindi huo yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 71 na Bernardo Silva dakika ya 82, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leeds fans left stunned after finding out Hollywood star Will Ferrell has
'bought a large stake' in the club hours after missing out on automatic
promotion to the Premier League
-
The news regarding Ferrell emerged just hours after Leeds missed out on
automatic promotion to the Premier League. Ferrell became a part-owner of
Los Angel...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment