Harry Kane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 54 na 65 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Stoke City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs Ryan Shawcross alijifunga dakika ya 21, Son Heung-Min alifunga dakika ya 53 na Christian Eriksen alifunga dakika ya 74. Shawcross alifunga bao la kufutia machozi la Stoke City dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment