Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Bayern Munich katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Pamoja na kufungwa, Atletico imeongoza kundi kwa pointi zake 15, ikifuatiwa na Bayern pointi 12 na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment