Mshambuliaji Mfaransa wa Real Madrid, Karim Benzema akijipinda kupiga kichwa cha nguvu kuifungia timu yake bao kufuatia krosi ya James Rodriguez katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Benzema alifunga mabao yote ya Real dakika za 28 na 53 wakati ya Borussia Dortmund yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 60 na Marco Reus dakika ya 88 na kwa matokeo hayo, timu ya Ujerumani inamaliza kileleni kwa pointi zake 14 ikiizidi pointi mbili timu ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erst das U17-Derby, dann die Meisterschafts-Endrunde
-
Borussias U17 bestreitet am Samstag (13 Uhr) mit dem Duell gegen Schalke 04
das letzte Spiel der B-Junioren-Bundesliga West und hat schon das
Halbfinale um...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment