Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Manyasi dakika ya saba, Daniel Lyanga dakika ya 17 na Elias Maguli dakika ya 57, wakati la Green Warriors limefungwa na Thabit Thabit dakika ya tisa.
GEITA GOLD YATINGA ROBO FAINALI AZAM FEDERATION CUP
Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Manyasi dakika ya saba, Daniel Lyanga dakika ya 17 na Elias Maguli dakika ya 57, wakati la Green Warriors limefungwa na Thabit Thabit dakika ya tisa.
0 comments:
Post a Comment