Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na Cyprian Kachwele dakika ya 26 na Nathaniel Chilambo dakika ya 72 na sasa wanaungana na mabingwa watetezi, Yanga, Simba, Geita Gold, Ihefu SC, Mtibwa Sugar, Singida Big Stars na Mbeya City kukamilisha idadi ya timu za Robo Fainali ya michuano hiyo.
AZAM FC YAICHAPA MAPINDUZI 2-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI ASFC
Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na Cyprian Kachwele dakika ya 26 na Nathaniel Chilambo dakika ya 72 na sasa wanaungana na mabingwa watetezi, Yanga, Simba, Geita Gold, Ihefu SC, Mtibwa Sugar, Singida Big Stars na Mbeya City kukamilisha idadi ya timu za Robo Fainali ya michuano hiyo.
0 comments:
Post a Comment