WENYEJI, England wamefanikiwa kutwaa taji la Euro 2022 Wanawake baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa Wembley Jijini London.
Mabao ya England yamefungwa na Ella Toone dakika ya 62 na Chloe Maggie Kelly dakika ya 110, wakati la Ujerumani limefungwa na Lina Maria Magull dakika ya 79.
0 comments:
Post a Comment