Mtanzania wa kwanza kucheza soka ya kulipwa Ulaya, kiungo mshambuliaji, Sunday Manara akimtoka beki wa timu pinzani wakati akiichezea SC Heracles ya Uholanzi. Manara mwenye umri wa miaka 67 sasa, aliichezea klabu hiyo kuanzia Desemba 1977 hadi Julai 1978 alipohamia SV St. Veit ya Austria, New York Eagles ya Marekani Al-Nasr ya Dubai baada ya awali kuchezea Yanga na Pan Africans za Dar es Salaam.
Japan raises visa fees for Nigerians, others after 48 years
-
The Japanese government has approved a major increase in visa fees for
Nigerians and other foreign nationals, ending nearly five decades without
any adju...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment