Mtanzania wa kwanza kucheza soka ya kulipwa Ulaya, kiungo mshambuliaji, Sunday Manara akimtoka beki wa timu pinzani wakati akiichezea SC Heracles ya Uholanzi. Manara mwenye umri wa miaka 67 sasa, aliichezea klabu hiyo kuanzia Desemba 1977 hadi Julai 1978 alipohamia SV St. Veit ya Austria, New York Eagles ya Marekani Al-Nasr ya Dubai baada ya awali kuchezea Yanga na Pan Africans za Dar es Salaam.
JD Vance sends message to Sophie Cunningham as he backs WNBA star over
comments on transgender athletes
-
Cunningham has been at the center of a bitter culture war in recent weeks
after she told ESPN that young girls 'shouldn't have to go against
biological men...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment