Mtanzania wa kwanza kucheza soka ya kulipwa Ulaya, kiungo mshambuliaji, Sunday Manara akimtoka beki wa timu pinzani wakati akiichezea SC Heracles ya Uholanzi. Manara mwenye umri wa miaka 67 sasa, aliichezea klabu hiyo kuanzia Desemba 1977 hadi Julai 1978 alipohamia SV St. Veit ya Austria, New York Eagles ya Marekani Al-Nasr ya Dubai baada ya awali kuchezea Yanga na Pan Africans za Dar es Salaam.
NFL legend Rob Gronkowski spills the tea on Tom Brady's single life after
Gisele Bundchen divorce
-
For years, Tom Brady and Rob Gronkowski shared the field together and
became close friends as they won multiple NFL titles. Now, Gronkowski is
seeing a new...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment