• HABARI MPYA

    Thursday, August 13, 2020

    DODOMA FC YAENDELEA KUIMARISHA KIKOSI CHAKE CHA LIGI KUU, YASAJILI NA 'MKATA UMEME' WA BIASHARA UNITED

    Kiungo wa ulinzi, Justine Omari amejiunga na Dodoma Jiji FC iliyopanda Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kutoka Biashara United ya Musoma mkoani Mara 

    Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Ndugu Shabani Juma (kulia) akibadilishana nakala ya Mkataba na Agustino Ngata baada ya beki huyo kisiki kusaini kandarasi ya mwaka mmoja kujiunga na Dodoma Jiji FC iliyopanda Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DODOMA FC YAENDELEA KUIMARISHA KIKOSI CHAKE CHA LIGI KUU, YASAJILI NA 'MKATA UMEME' WA BIASHARA UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top