Mshambuliaji Muargentina, Odion Ighalo akiwa ameshika jezi ya Manchester United baada ya kutimiza ndoto za kujiunga nayo kwa mkopo kwa dau la Pauni Milioni 4 kutoka Shanghai Shenhua ya China. Ighalo ambaye amesema yeye ni 'shabiki kufa' wa United tangu akiwa mdogo kwao, Nigeria enzi hizo klabu hiyo inaongozwa na mshambuliaji, Andy Cole atakuwa analipwa Pauni 165,000 kwa wiki, nusu tu ya mshahara wake wa China, Paun 330,000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment