Chipukizi wa Liverpool, Neco Williams na Adam Lewis wakishangilia baada ya timu yao kupata bao pekee dakika ya 75, Ro-Shaun Williams akijifunga katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Shrewsbury Town jana Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa marudio Raundi ya Nne Kombe la FA, England kufuatia mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare ya 2-2 Januari 26 Uwanja wa Montgomery Waters Meadow PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I want to industrialise Africa, not chase billions — Dangote
-
Africa's richest man and President of the Dangote Group, Aliko Dangote, has
said his greatest ambition is not to accumulate wealth but to leave a
lasting...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment