Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 17 na Andreas Pereira aliyejifunga dakika ya 38, wakati bao pekee la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment