Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 17 na Andreas Pereira aliyejifunga dakika ya 38, wakati bao pekee la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG’s 12-year school reform, NYSC overhaul will transform Nigeria – Uche
Nwosu
-
From Charity Nwakaudu, Abuja Former Chief of Staff to the former Governor
of Imo State, Ugwumba Uche Nwosu, has thrown his weight behind the Federal
Gove...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment