Roberto Firmino akimpongeza Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 64 kufuatia Mohamed Salah kufunga la kwanza dakika ya nne katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sheffield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Anfield, hivyo kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa pointi 13 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment