Roberto Firmino akimpongeza Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 64 kufuatia Mohamed Salah kufunga la kwanza dakika ya nne katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sheffield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Anfield, hivyo kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa pointi 13 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simpson and guide Poth win Paralympic silver for GB
-
Neil Simpson wins Great Britain's first medal of the Milan-Cortina Winter
Paralympics with silver in the alpine combined.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment