Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Budget recklessness, bane of development in Nigeria under Tinubu
-
A budget is a financial plan that estimates your expected income and
expenses over a specific period. For a government, it is a comprehensive
financial s...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment