Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid eye Arsenal's Calafiori - Wednesday's gossip
-
Real Madrid scout Arsenal's Riccardo Calafiori, Tottenham consider Juventus
defender Gleison Bremer, Manchester United chase Newcastle's Lewis Hall,
plus m...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment