• HABARI MPYA

    Friday, October 11, 2019

    BRAZIL NA SENEGAL ZATOKA SARE YA 1-1 MECHI YA KIRAFIKI

    Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL NA SENEGAL ZATOKA SARE YA 1-1 MECHI YA KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top