Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves chairman QUITS: Angry fans get their wish as Jeff Shi steps down
after weeks of protests, with Rob Edwards' side heading for the Championship
-
TOM COLLOMOSSE: Jeff Shi has stepped down as executive chairman of Wolves
after a chaotic period on and off the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment