Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment