Winga wa Manchester City, Leroy Sane akimtoka mchezaji wa FC Basle, Fabian Frei katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Basle ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Mohamed Elyounoussi dakika ya 17 na Michael Lang dakika ya 71, baada ya Gabriel Jesus kutangulia kuifungia Man City dakika ya nane ambayo inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-2, kufuatia awali kushinda 4-0 Basle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment