Mshambuliaji mkongwe Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 64, kufuatia Son Heung-min kuanza kuwafungia wenyeji, Tottenham Hotspur dakika ya 39, kabla ya Paulo Dybala kuwafungia la ushindi wageni kutoka Italia dakika ya 67 wakiwalaza Spurs 2-1 Uwanja wa Wembley, London na kwenda Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa jumla wa 4-3, kufuatia sare ya 2-2 kwenye mchezo wa kwanza mjini Turin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Execs Expect 'Active' Summer on Trade Market Due to New CBA
Restrictions
-
The upcoming NBA offseason is reportedly expected to be a busy one for
teams hoping to avoid penalties imposed on high-spending franchises by the
new…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment