Kiungo Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 25 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Martin Kelly aliyejifunga dakika ya 32, wakati la Palace limefungwa na Patrick van Aanholt dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Eagles Icon Jason Kelce to Join ESPN's MNF Pregame Show After NFL
Retirement
-
Former Philadelphia Eagles center Jason Kelce is signing with ESPN and will
feature on the network's Monday Night Countdown, according to The
Athletic's…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment