Sergio Ramos akifurahia na wenzake baada ya kufunga mabao mawili kwa penalti dakika za 35 na 53 Hispania wakitoa sare ya 3-3 na wenyeji, Urusi usiku wa jana Uwanja wa Krestovskyi mjini St. Petersburg katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Hispania lilifungwa na Jordi Alba dakika ya tisa, wakati ya Urusi yalifungwa na Fedor Smolov dakika ya 41 na 70 na Aleksey Miranchuk dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment