Beki John Terry (wa pili kulia) akiwania mpira dhidi ya nyota kinda, Nathaniel Chalobah wakati wa mazoezi ya Chelsea kujiandaa na mechi ya mwisho ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Sunderland Jumapili. Terry mwenye umri wa miaka 36 sasa, anatarajiwa kuaga Chelsea siku hiyo baada ya kucheza mechi 716 tangu 1995 alipowasili akiwa kijana mdogo kabisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan could be forced to sell his West Ham stake in wake of new
Independent Football Regulator rules - amid claims against co-owner, 77, of
abusing and preying on teenage girls for sex in BBC Panorama documentary
-
MIKE KEEGAN: David Sullivan could be forced to sell his stake in West Ham
United after he was accused of preying on women for sex.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment