Beki John Terry (wa pili kulia) akiwania mpira dhidi ya nyota kinda, Nathaniel Chalobah wakati wa mazoezi ya Chelsea kujiandaa na mechi ya mwisho ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Sunderland Jumapili. Terry mwenye umri wa miaka 36 sasa, anatarajiwa kuaga Chelsea siku hiyo baada ya kucheza mechi 716 tangu 1995 alipowasili akiwa kijana mdogo kabisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Panthers FA DJ Chark to Sign 1-Year Contract with Jim Harbaugh,
Chargers
-
The Los Angeles Chargers and free agent wide receiver DJ Chark have agreed
to a one-year deal worth up to $5 million, per Ian Rapoport of NFL Network.
The…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment