Nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi akiangalia juu baada ya kufunga kwa mpira wa adhabu dakika ya 40 kuipatia timu yake bao la pili timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 18 na Aleix Vidal dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag explains double substitution
-
The boss says he had to protect Kobbie Mainoo and Rasmus Hojlund from
injury.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment