Harry Kane akishangilia baada ya kufunga mabao matatu katika dakika za 14, 32 na 37 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa White Hart Lane. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'One of my favourite wins' - Norrie battles illness to beat Landaluce
-
Britain's Cameron Norrie describes his first-round victory at the Madrid
Open as one of his favourite wins in his career after overcoming illness to
defeat...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment