Harry Kane akishangilia baada ya kufunga mabao matatu katika dakika za 14, 32 na 37 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa White Hart Lane. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield United striker Billy Sharp is attacked by a pitch invader at Nottingham Forest
-
Steve Cooper's Forest sealed a penalty shoot-out victory to progress into
the final where they will face Huddersfield Town for a place in the Premier
League.
Dakika 7 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni