Zlatan Ibrahimovic akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa Saint-Etienne, Kevin Theophile-Catherine katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Europa League leo Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Manchester United ikishinda 1-0, bao pekee la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 16. Kwa ushindi huo Man United iliyomaliza pungufu baada ya Eric Bailly kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63 inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushindaa 4-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment