Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Leroy Sane baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-3 dhidi ya Monaco Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika, Aguero alifunga mawili dakika za 58 na 71, Sane moja dakika ya 82 na mengine Raheem Sterling dakika ya 26 na John Stones dakika ya 77, wakati ya Monaco yalifungwa na Radamel Falcao mawili dakika za 32 na 61 huku akikosa penalti dakika ya 50 na Kylian Mbappe Lottin dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment