Waziri Mkuu wa zamani nchini, Edward Lowasa aliyekuwa mgombea wa Urais wa CHADEMA na UKAWA katika uchaguzi Mkuu uliopita akiwapungia mkono mashabiki wa Simba kabla ya mchezo wao dhidi ya Yanga leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakishinda 2-1
Hapa Lowasa aliyeshindwa na mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli anawasalimia mashabiki wa Yanga
Hapa Lowasa anasilimiana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye
Hapa Lowassa anasalimiana na Rais wa TFF, Jamal Malinzi
Mashabiki wa Yanga wakiwa wamemgeukia Lowasa wakati anawasalimia
Mashabiki wa Simba wakiwa wamemgeukia Lowasa wakati anawasalimia
Arsenal vs Chelsea - Premier League: Live score, team news and updates as
Mikel Arteta's side can stretch their lead at the top of the Premier League
to three points with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Arsenal host Chelsea in Premier League action.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment