Alvaro Morata aliyetokea benchi akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid baada ya kufunga bao bao la ushindi dakika ya 83 ikiwalaza wenyeji, Villarreal 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica, Villarreal, Hispania. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale dakika ya 64 na Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 74, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manu Trigueros dakika ya 50 na Cederic Bakambu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak chief Togbe Afede XIV chairs Autonomous Premier League Implementation Committee
-
Hearts of Oak Board Chairman Togbe Afede XIV has been installed as chairman
of the Autonomous Premier League Implementation Committee, the Ghana FA has
ann...
Dakika 38 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni