• HABARI MPYA

    Monday, February 27, 2017

    REAL MADRID NAYO YASHINDA LA LIGA, YAIPIGA 3-2 VILLARREAL

    Alvaro Morata aliyetokea benchi akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid baada ya kufunga bao bao la ushindi dakika ya 83 ikiwalaza wenyeji, Villarreal 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica, Villarreal, Hispania. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale dakika ya 64 na Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 74, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manu Trigueros dakika ya 50 na Cederic Bakambu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID NAYO YASHINDA LA LIGA, YAIPIGA 3-2 VILLARREAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top