Alvaro Morata aliyetokea benchi akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid baada ya kufunga bao bao la ushindi dakika ya 83 ikiwalaza wenyeji, Villarreal 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica, Villarreal, Hispania. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale dakika ya 64 na Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 74, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manu Trigueros dakika ya 50 na Cederic Bakambu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two weeks ago AFL star Josh Rachele warned fans not to use offensive words.
Just days before, he wrote an F-bomb insult on a footy that was given to a
nine-year-old girl
-
The Adelaide Crows have apologised for the incident, which occurred
straight after their victory over Port on May 1.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment