Wachezaji wa Manchester United wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England baada ya kuifunga Southampton mabao 3-2 leo katika fainali Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Man United yamefungwa na Zlatan Ibrahimovic mawili dakika za 19 na 87 na Jesse Lingard dakika ya 38, wakati ya Southampton yamefungwa na Manolo Gabbiadini yote dakika za 45 na ushei na 48, hilo likiwa taji la kwanza la kocha Mreno, Jose Mourinho tangu ajiunge na Mashetani hao Wekundu msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment