Wachezaji wa Manchester United wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England baada ya kuifunga Southampton mabao 3-2 leo katika fainali Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Man United yamefungwa na Zlatan Ibrahimovic mawili dakika za 19 na 87 na Jesse Lingard dakika ya 38, wakati ya Southampton yamefungwa na Manolo Gabbiadini yote dakika za 45 na ushei na 48, hilo likiwa taji la kwanza la kocha Mreno, Jose Mourinho tangu ajiunge na Mashetani hao Wekundu msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid players 'turn against Carlo Ancelotti and complain to
Florentino Perez over approach against Arsenal' - with Italian 'needing
MIRACLE to avoid sack'
-
Ancelotti, 65, is likely to have just days left in his role after Real
Madrid were dumped out of the Champions League at the quarter-final stage.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment