Nyota wa Chelsea, Pedro (kulia) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Willian baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 65 katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton jana. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Diego Costa dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Mavs' Jason Kidd 'Hopeful' for Contract Extension in 2024
Offseason
-
Jason Kidd is looking to remain the head coach of the Dallas Mavericks for
the foreseeable future. Kidd, who is under contract through the 2024-25
season, is…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment