Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Germany's Merz on high-stakes Washington trip amid Iran fallout
-
German Chancellor Friedrich Merz has arrived in Washington – the first
European leader to visit President Donald Trump since the United States and
Israel l...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment