Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Group to Tinubu: Probe $1.5bn earmarked for Port Harcourt refinery repairs
-
From Okwe Obi, Abuja The Situation Room on Transparency and
Accountability, has urged President Bola Tinubu, to probe the US$1.5
billion budgeted for r...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment