Jamie Vardy akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la tatu kati ya mawili aliyofunga dakika za 28 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Danny Drinkwater dakika ya 39, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 68. Ushindi huo unakuja siku nne baada ya kufukuzwa kocha Claudio Ranieri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monkey pox: FG beefs up surveillance at entry points
-
From Okwe Obi, Abuja Sequel to the outbreak of monkey pox and its effects
in Europe and America, the Federal Government has beefed up surveillance at
the...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni