Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akiangalia juu kwa masikitiko wakati anatoka nje baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 39 kwa kucheza rafu katika mchezo wa marudiano wa 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London wakilazimishwa sare ya 2-2 na Gent ya Ubelgiji. Mabao ya Spurs yalifungwa na Christian Eriksen dakika ya 10 na Victor Wanyama dakika ya 61, wakati ya Gent Harry Kane alijifunga dakika ya 20 na la pili akafunga Jeremy Perbet dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment