Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akiangalia juu kwa masikitiko wakati anatoka nje baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 39 kwa kucheza rafu katika mchezo wa marudiano wa 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London wakilazimishwa sare ya 2-2 na Gent ya Ubelgiji. Mabao ya Spurs yalifungwa na Christian Eriksen dakika ya 10 na Victor Wanyama dakika ya 61, wakati ya Gent Harry Kane alijifunga dakika ya 20 na la pili akafunga Jeremy Perbet dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr opens up on agony of brother's death and being estranged
from his father ahead of huge Conor Benn fight - after refusing to let
Eddie Hearn speak at press conference
-
During the pre-fight press conference ahead of his showdown with Conor Benn
on Saturday night, both men were in bullish form but it was a moment of raw
hon...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment