Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania akiongea kwa hisia kali jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwenye jukwaa ambalo huketi mashabiki wa Simba wakati wa mchezo baina ya timu hiyo na African Lyon hatua ya 16 Bora kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC). Simba ilishinda 1-0
'Afande Bonge' alitumia muda mwingi kidogo kuzungumza kwa hisia kali
Wengine wanamskiliza, wengine wanaendelea kuangalia mpira
Kuna wakati Afande Bonge naye alitulia kusikiliza wengine
Lakini muda mrefu aliongea mwenyewe kwa msistizo
Jamie Carragher calls Mohamed Salah 'daft' for his 'if I speak, there will
be fire' remark to reporters after touchline spat with Jurgen Klopp that
overshadowed Liverpool's 2-2 draw at West Ham
-
The Egyptian was dropped to the bench for Liverpool's 2-2 draw at West Ham
on Saturday and looked decidedly unhappy with Klopp when he was finally
introduced.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment