Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya timu yao na Ngaya Club de Mde Comoro jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 5-1 mjini Moroni Jumapili iliopita katika mchezo wa kwanza
CAF Young Reporters Programme concludes in Accra with internship
opportunities ahead
-
The CAF Young Reporters Programme concluded successfully on Friday in
Accra, Ghana, during the third day of the CAF African Schools Football
Championship.T...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment