Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya timu yao na Ngaya Club de Mde Comoro jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 5-1 mjini Moroni Jumapili iliopita katika mchezo wa kwanza
Alcaraz announces shock split with coach Ferrero
-
Six-time major champion Carlos Alcaraz splits with his coach Juan Carlos
Ferrero in a shock move.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment