Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3- dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 72 na Diego Costa dakika ya 84, wakati la Swansea lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SEDC, REA to roll out renewable energy for South-East communities
-
Kenneth Udeh from Abuja The South-East Development Commission (SEDC) has
concluded plans with the Rural Electrification Agency (REA) to extend power
supp...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment