Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 1-2 Nottingham Forest: Morgan Gibbs-White and Nikola Milenkovic
strike to keep Champions League hopes alive
-
Nottingham Forest beat West Ham 2-1 in the Premier League on Sunday to keep
their hopes of qualifying for the Champions League alive.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment