Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment