Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment