Kiungo wa Leicester City, Wilfred Ndidi akienda chini baada ya kumzunguka Joaquin Correa wa Sevilla katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Wenyeji wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 25 na Joaquin Correa dakika ya 62 ambaye awali alikosa penalti iliyookolewa na kipa Kasper Schmeichel dakika ya 14, wakati bao la Leicester lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment