Kiungo wa Leicester City, Wilfred Ndidi akienda chini baada ya kumzunguka Joaquin Correa wa Sevilla katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Wenyeji wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 25 na Joaquin Correa dakika ya 62 ambaye awali alikosa penalti iliyookolewa na kipa Kasper Schmeichel dakika ya 14, wakati bao la Leicester lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Martial suffers injury as Sevilla secures Champions League spot
-
Spanish newspaper AS has revealed that striker Anthony Martial has been
suffering from an injury in recent weeks with Sevilla. The Frenchman missed
the clu...
Dakika 34 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni