Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu leo. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33. Bale alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea kufuatia kuwa nje ya Uwanja kwa miezi mitatu kwa maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shai Gilgeous-Alexander, Thunder Praised By NBA Fans After Game 1 Win vs.
Luka, Mavs
-
The Oklahoma City Thunder still haven't lost in these playoffs. The Western
Conference's top seed defeated the Dallas Mavericks 117-95 in Game 1 of
their…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment