Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu leo. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33. Bale alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea kufuatia kuwa nje ya Uwanja kwa miezi mitatu kwa maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment