Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu leo. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33. Bale alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea kufuatia kuwa nje ya Uwanja kwa miezi mitatu kwa maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wike summons area council chairmen over teachers’ strike, PHC closures
-
Nurses, teachers protest, demand N70,000 minimum wage Byline: Juliana
Taiwo-Obalonye, Abuja Federal Capital Territory (FCT) Minister Nyesom Wike
held an ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment