Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu leo. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33. Bale alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea kufuatia kuwa nje ya Uwanja kwa miezi mitatu kwa maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pictured: The charred remains of the Six Nations trophy after it was
destroyed in a motorway van fire mid-tournament
-
Six Nations organisers confirmed earlier this week that the trophy can no
longer be restored to its 'full presentation standard', leading to the
decision t...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment