Shabiki maarufu wa Simba, Naima Salum 'Nima' (kulia) ambaye ni mchumba wa kipa wa timu hiyo, Peter Manyika akiwa jukwaani kushuhudia mchezo baina ya timu yake hiyo kipenzi dhidi ya African Lyon Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo
Simba SC ilishinda 1-0 mechi hiyo ya hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC)
Ten Hag explains double substitution
-
The boss says he had to protect Kobbie Mainoo and Rasmus Hojlund from
injury.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment