Mario Balotelli akiondoka uwanjani kinyonge baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu na refa Tony Chapron dakika ya 65 jana, hiyo ikiwa mara ya tatu tangu ahamiw Ufaransa msimu huu katika mchezo dhidi ya wenyeji, Lorient jana Uwanja wa Yves Allainmat mjini Le Moustoir. Nice ilishinda 1-0 hata hivyo, bao pekee la Wylan Cyprien dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun election: Kalu congratulates Adeleke, says Tinubu’s future in Osun
bright despite APC’s loss
-
Former Governor of Abia State and Senator representing Abia North
Senatorial District, Senator Orji Uzor Kalu, has congratulated Osun State
Governor, Sen...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment