Mario Balotelli akiondoka uwanjani kinyonge baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu na refa Tony Chapron dakika ya 65 jana, hiyo ikiwa mara ya tatu tangu ahamiw Ufaransa msimu huu katika mchezo dhidi ya wenyeji, Lorient jana Uwanja wa Yves Allainmat mjini Le Moustoir. Nice ilishinda 1-0 hata hivyo, bao pekee la Wylan Cyprien dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
RTU coach Abdul Mumin temporary suspended over match-fixing allegation
-
Real Tamale United (RTU) coach Abdul Mumin Abdulai has been requested to
step aside amid allegations of match-fixing, stirring controversy within
the club....
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment