Cristiano Ronaldo akiwa ameanguka mbele ya beki wa Valencia, Eliaquim Mangala katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Mestalla mjini Valencia wenyejinwakishinda 2-1. Mabao ya Valencia yalifungwa na Simone Zaza dakika ya nne na Fabian Orellana dakika ya tisa, wakati la Real lilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 44 akicheza mechi ya 700 tangu ajiunge na timu ya Madrid kutoka Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’m not just here to sing; I’m here to create experience –Ortez
-
It’s the dawn of a new era, as electrifying singer/songwriter, Olorunfemi
Otedola Damilola aka Ortez, is crowned the new face of the industry. With a
voi...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment