Cristiano Ronaldo akiwa ameanguka mbele ya beki wa Valencia, Eliaquim Mangala katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Mestalla mjini Valencia wenyejinwakishinda 2-1. Mabao ya Valencia yalifungwa na Simone Zaza dakika ya nne na Fabian Orellana dakika ya tisa, wakati la Real lilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 44 akicheza mechi ya 700 tangu ajiunge na timu ya Madrid kutoka Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment