Cristiano Ronaldo akiwa ameanguka mbele ya beki wa Valencia, Eliaquim Mangala katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Mestalla mjini Valencia wenyejinwakishinda 2-1. Mabao ya Valencia yalifungwa na Simone Zaza dakika ya nne na Fabian Orellana dakika ya tisa, wakati la Real lilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 44 akicheza mechi ya 700 tangu ajiunge na timu ya Madrid kutoka Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment