Kocha wa Yanga, George Lwandamina akipaaza sauti kuzungumza na wachezaji wake wakati wa mchezo wa marudiano juzi Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya Club de Mde ya Comoro Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanvga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya awali kushinda 5-1 mjini Moroni, Comoro.
Lwandamina alijitahidi sana kuzungumza na wachezaji wake, lakini haikusaidia kubadili matokeo
Alitumia muda mwingi kusimama kutoa maelekezo kwa wachezaji wake
Kuna wakati alionyesha kabisa kukasirishwa na mambo yanavyoendelea uwanjani
Hapa anatoa maelekezo kwa vijana wake kwa maneno na vitendo
Lwandamina hakufurahishwa kabisa na sare ya juzi dhidi ya Ngaya
Gary Neville reveals why he WON'T be at Nottingham Forest's clash with Man
City this weekend amid Sky row, as he accuses Mark Clattenburg of acting
'like a Navy Seal' and giving the team an excuse NOT to win
-
Gary Neville (right) has revealed he will not be covering Nottingham Forest
's Premier League clash with title-chasing Man City on Sunday amid the
club's r...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment