Zlatan Ibrahimovic na Anthony Martial wakipongezana baada ya kila mmoja kuifungia mabao mawili Manchester United katika ushindi wa 4-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England dhidi ya West Ham United Uwanja wa Old Trafford. Ibra alifunga bao la kwanza na la nne dakika ya pili na 90 na ushei, wakati Martial alifunga la pili na la tatu dakika ya 48 na 62 huku bao la West Ham likifungwa na kinda wa zamani wa United, Ashley Fletcher na Mashetani Wekundu sasa watakutana na Hull City katika Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment